Mwambegele

Friday, June 24, 2011

CARNIVORE NAIROBI - A Beast of Feast






Carnivore, Nairobi. Wanyama wengi huchinjwa kufaninikisha jiko hili. tangu mwaka 2004 nyama pori haipo tena. inasemekana Serikali iilipiga marufuku. Isipokuwa ya mamba, ngamia na nyingine za kawaida hupatikana

CARNIVORE NAIROBI - A Beast of Feast






Carnivore, Nairobi. Wanyama wengi hupoteza maisha ili kufaninikisha jiko hili. tangu mwaka 2004 nyama pori haipo tena. kuna tangazo limewekwa mezani kuwa ilipigwa marufuku. Isipokuwa ya mamba, ngamia na nyingine za kawaida hupatikana

NILIPOMSHIKA MKONO RAIS



Niliposhikana mkono na Rais, ilibidi nisinawe wiki nzima nisije ondoa baraka.

Thursday, June 02, 2011

MGEMA TEMBO




.....akigema

MGEMA TEMBO



... aikishuka baada ya kugema. Tayari kwa kupeleka bidhaa hii kwa walaji

Tuesday, May 31, 2011

LIFE AFTER FIFTY


Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa life starts at forty. Kwangu mimi life starts now; at fifty

Monday, May 30, 2011

MY 50th BIRTHDAY


Siku ya kutimiza miaka 50 ya kuzaliwa kwangu, Bupe alinizawadia poem. Anasema:
The Best Dad is here,
Everyone rise and cheer'
For he is 50 years,
And this is his year,
He has reached 1/2 a century,
And he is cheerful,
AND HE IS OUR DADDY.

Honestly, this has inspired me.

MY 50th BIRTHDAY


Siku ya kutimiza miaka 50 ya kuzaliwa kwangu, watoto wangu waliniambia I AM THE BEST DADDY IN THE WORLD.
Nakuthibitishia hawakuwa wanatania

MY 50th BIRTHDAY


Siku ya kutimiza miaka 50 ya kuzaliwa kwangu, watoto wangu walinipa zawadi hii...

WORLD ECONOMIC FORUM



Tanzania ilikuwa mwenyeji wa World Economic Forum on Africa mwaka 2010. Siku ya kufunga Sherehe hizi tarehe 6 Mei, 2010, ilikuwa ndiyo siku ya kuzaliwa kwangu. Kila mmoja alisherehekea. Hata magazeti yaliona

WORLD ECONOMIC FORUM



Tanzania ilikuwa mwenyeji wa World Economic Forum on Africa mwaka 2010. Siku ya kufunga Sherehe hizi tarehe 6 Mei, 2010, ilikuwa ndiyo siku ya kuzaliwa kwangu. Msanii huyu alikuwepo kutuonyesha kipaji chake

WORLD ECONOMIC FORUM



Tanzania ilikuwa mwenyeji wa World Economic Forum on Africa mwaka 2010. Siku ya kufunga Sherehe hizi tarehe 6 Mei, 2010, ilikuwa ndiyo siku ya kuzaliwa kwangu. Nilipata zawadi ya maandishi haya.

LUBUNGA BYAOMBE



Lubunga Byaombe in a light moment with Tanzanian delegates

WERASON



Tukiwa Kinshasa, mimi na rafiki yangu Muhsin, tulipata bahati ya kupiga picha na Mwanamuziki Werason

CHURA WA KIHANSI


Ni kiumbe mdogo aishiye kwenye spray za Kihansi

CHURA WA KIHANSI



Wanamazingira huenda kummtembelea

CHURA WA KIHANSI



Nyumban kwa chura wa Kihansi

Monday, April 25, 2011

BUPE




BUPE at her best!

PHOTOGENIC




Hawa watoto ni photogenic

Thursday, March 31, 2011

VICTORIA, MAHE SEYCHELLES




Mitaa ya Ushelisheli

VICTORIA, MAHE SEYCHELLES




Niliambiwa kuwa mnara wa saa ni kielelezo cha Jiji la Victoria, Mahe Seychelles

KISIWA CHA PARADISO





Kisiwa cha paradiso kinavyoonekana kutoka kilimani