Mwambegele

Thursday, March 31, 2011

KISIWA CHA PARADISO





Paradise Island, Seychelles. Hiki ni kisiwa cha kutengenezwa na binadamu. Udongo ukajazwa mpaka kikapatikana. Bado ujenzi wake haujakamilika. Baada ya kukamilika kila mwenye nyumba huko atakuwa na mahali pa kuegesha boti lake baharini kama inavyoonekana. Hata hivyo, niliambiwa kuwa huko kutakuwa mahali ghali sana siyo kwa kila Juma, Joni na Haji yeyote kuishi huko

0 Comments:

Post a Comment

<< Home