Mwambegele

Wednesday, March 25, 2009

NEW DELHI




Nilipotembelea New Delhi, kitu kikubwa kilichonishangaza ni jinsi ng'ombe wenye afya nzuri wanavyozurura mitaani. Ng'ombe hao ni stadi kweli hata kwa kupishana na magari. Kwa ujumla ng'ombe hao wana afya nzuri na hakuna anayewasumbua. Niliuliza na kuambiwa kuwa ng'ombe ni mnyama anayeheshimiwa sana mjini humo kwani ana uhusiano na imani ya kidini. Hii ndiyo sababu pia Wahindi wenye imani ya dhehebu hilo hawali nyama ya ng'ombe. Ona ng'ombe hao walivyonona.

2 Comments:

At 9:19 PM, Blogger Mahmood Syedfaheem said...

God is Great. Let us pray for peace for the world. When did you visited India?
http://health-care-you.blogspot.com

 
At 6:10 AM, Blogger Mwambegele said...

It was end of last year.

 

Post a Comment

<< Home