Mwambegele

Monday, March 15, 2010

DR MPANGO WA MIPANGO


Leo Rais Jakaya Mrisho Kikwete amwapisha Dr Phillip Isdor Mpango kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango. Pamoja naye wameapishwa Naibu Makatibu wa Tume ya Mipango wanne. (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog - Globu ya Jamii)

0 Comments:

Post a Comment

<< Home