Mwambegele

Wednesday, April 21, 2010

ASKOFU MUZOREWA AFARIKI




Askofu Abel Muzorewa wa Zimbabwe amefariki dunia mjini Hararetarehe 10 Aprili 2010 akiwa na umri wa miaka 85. Habari Askofu Muzorewa alikuwa anaitwa kibaraka wa wazungu. Hata hivyo alishiriki katika mapambano ya uhuru wa Zimbabwe.

http://www.nytimes.com/2010/04/10/world/africa/10muzorewa.html

SOURCE swahilitime.blogspot.com

0 Comments:

Post a Comment

<< Home