Mwambegele

Friday, June 25, 2010

HARUNA TWAIB SONGORO

Tarehe 22 Juni, 2010 Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliwaapisha majaji kumi; mmojawapo alikuwa ni rafiki yangu wa muda mrefu: Haruna Twaib Songoro. Huyu Wakili ndiye aliyenipokea na kunifundisha kazi wa Wakili wa Serikali. Nakutakia kila la kheri kwenye kazi yako mpya.

0 Comments:

Post a Comment

<< Home