Mwambegele

Monday, June 28, 2010

UFUGAJI TUKUYU




Ng'omge hawa (kutoka zizi hili) nilikuwa nikishiriki kuwachunga machungani. Siku hizi wafungaji wengi wanatumia ufugaji wa zero grazing kwa sababu ya kukosa sehemu za malisho. Hapa mfugaji wa kijiji cha Bujinga, Tukuyu , akilisha mifugo yake kwa mtindo wa zero grazing.

0 Comments:

Post a Comment

<< Home