Mwambegele

Thursday, February 18, 2010

DARAJA LA MUNGU











Daraja la Mungu. Lipo kilometa chache kutoka Chuo cha Magereza, Kiwira

DARAJA LA MUNGU




Chini ya Daraja

DARAJA LA MUNGU







Juu ya daraja

JIKONI KIJIJINI







Jiko kijijini kwetu. Chakula kingi hupikwa kwenye chungu.

KIFUNGUA KINNYWA











Kijijini kifungua kinya saaafi kabisa. This time nilijikumbusha "mabumunda!". Wakati tukisoma mjin i Mbeya ukila kipande ukashushia glasi ya maji......siku imepita!

DARAJA KITENDAWILI







Daraja hili lilijengwa kuelekea kwenye vibanda hivyo vinavyoonekana katika picha. Haliendi kwingine kokote! Baada ya vibanda hiyvyo ni milima tu! Ama kweli daraja hili kitendawili

DARAJA LA MUNGU


Hili ndilo the famous Daraja la Mungu. Lipo kilometa chache kutoka Chuo cha Magereza Kiwira

KAZI YA KISANII











Another work of an artist

MAKAZI




Niliwahi kutumia takriban miaka kumi ya uhai wangu katika nyumba hii. Ndiyo nyumba ya kwanza kuishi katika utumishi wangu serikalini bara baada ya kumaliza shule

BISMARK ROCK Vs SANGARA







Zamani kielelezo cha Stone City kilikuwa ile miamba maarufu ya Bismaki iliyo ziwani pale kwenye Ferry ya kuendea Kamanga. Kwa sasa kuna hii sanamu ya Sangara inapanda chati

SAMAKI WA KUCHOMA MWANZA


Ukitembelea Mwanza usikose kula samaki hawa wa kuchoma (Samaki Choma as opposed to Nyama Choma) Pale Hotel LaKairo. They are finger-licking delicious!

MIEMBE YA MUDA MFUPI







Nimeanza kuyafaidi maembe haya baada ya kuyapand miaka mitatu iliyopita. Miche niliinunua pale TTSA MOROGORO. Nadhani yanaitwa "Matombo Sweet" na kweli ni matamu

DARAJA LA KIGAMBONI


Daraja la Kigamboni kama linavyoonekana na mchoraji

An architectural impression of the Kigamboni bridge

Monday, February 15, 2010

VALENTINE DAY 2010











Ua hili la Valentine lilitengenezwa mahsusi kwa ajili yangu. Nalipenda sana Asantte Hilda.




This Valentine flower was specially and specifically made for me. It gives me inspiration. Thanks, Hilda.