Mwambegele

Monday, March 30, 2009

KUALA LUMPUR



majengo haya ndiyo alama kuu ya Mji Mkuu wa Malaysia; Kuala Lumpur.
Posted by Picasa

PUTRAJAYA, THE GOVERNMENT VILLAGE OF MALAYSIA




Nchini Malaysia kuna mji wa Serikali ambamo Wizara zote na karibu shughui zote za Serikali hufanyika humo.
Posted by Picasa

Sunday, March 29, 2009

KAZI YA KISANII





Sanamu hizi zipo katikati ya mji wa kitalii Brugge, Ubelgiji. Niliipenda kazi hii ya kisanii.
Posted by Picasa

Friday, March 27, 2009

MLIMA KILIMANJARO




Mlima Kilimanjaro unavyoonekeana kutoka juu angani. Nilizichukuwa hizi picha kutoka ndani ya ndege
Posted by Picasa

SUPU YA KONOKONO


Supu ya Konokono. It is finger licking delicious! You will like it!
Posted by Picasa

Thursday, March 26, 2009

PROSTATE PILL


Kidonge hiki ni mkombozi, kitasaidia wagonjwa wengi na kuepukana na kuchomwa mionzi; tiba ya saratani ambayo ndiyo inaaminiwa sasa. Ni uvumbuzi muhimu wa wataalam wa Kiingereza. Habari hii ilitolewa kwenye Gazeti la Daily Mail la Uingereza.

Wednesday, March 25, 2009

NEW DELHI




Nilipotembelea New Delhi, kitu kikubwa kilichonishangaza ni jinsi ng'ombe wenye afya nzuri wanavyozurura mitaani. Ng'ombe hao ni stadi kweli hata kwa kupishana na magari. Kwa ujumla ng'ombe hao wana afya nzuri na hakuna anayewasumbua. Niliuliza na kuambiwa kuwa ng'ombe ni mnyama anayeheshimiwa sana mjini humo kwani ana uhusiano na imani ya kidini. Hii ndiyo sababu pia Wahindi wenye imani ya dhehebu hilo hawali nyama ya ng'ombe. Ona ng'ombe hao walivyonona.

Monday, March 23, 2009

NG'OMBE MITAANI NEW DELHI



Ni kawaida kupishana na ng'ombe katika jiji la New Delhi. Inasemekana mnyama huyu anaheshimiwa sana kwa sababu ana uhusiano na imani ya dini

NG'OMBE MITAANI NEW DELHI


Watu na ng'ombe kupishana ni kawaida

Sunday, March 22, 2009

Katika mitaa ya New Delhi si ajabu kuona ng'ombe akijipumzisha barabarani