Monday, June 28, 2010
Friday, June 25, 2010
KUAPISHWA KWA JAJI SONGORO
Alipata nafafasi ya kusalimiana na Rais mstaafu William (Bill) Jefferson Clinton
HARUNA TWAIB SONGORO
Tarehe 22 Juni, 2010 Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliwaapisha majaji kumi; mmojawapo alikuwa ni rafiki yangu wa muda mrefu: Haruna Twaib Songoro. Huyu Wakili ndiye aliyenipokea na kunifundisha kazi wa Wakili wa Serikali. Nakutakia kila la kheri kwenye kazi yako mpya.