Sunday, March 21, 2010
Tuesday, March 16, 2010
Monday, March 15, 2010
Saturday, March 06, 2010
ZIARA YA CABINET SECRETARIAT BOTSWANA


Hivi karibuni, maafisa wa Cabinet Secretariat walitembelea Botswana kwa ziara ya mafunzo. Pichani maafisa hao wakipokelewa na Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Botswana. Picha kwa hisani ya gazeti la Daily News la Botswana. Ujumbe uliongozwa na Mheshimiwa Eric Shitindi; Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma (anayetabasamu; katikati. Bi Angelina Madete haonekani kwenye picha
Wednesday, March 03, 2010
Monday, March 01, 2010
THE MARULA TREE


Katika nchi za Kusini mwa Afrika, mti unaoitwa Marula (unaosemekana kuwa ni chanzo cha kinywani kinachoitwa Amarula kinachopendwa sana na akina dada watanashati) unaonekana mahali pengi. Kuna mwenzangu mmoja aliniambia kuwa hata hapa Tanzania unapatikana. Kwa mimi ilikuwa mara yangu ya kwanza kuuona hapa. Nilichukuwa picha hizi kwenye geti la kuingilkia Gaborone Dam jijini Gabororone, Botswana.